Ni kweli Palestina walimsaidia Idi Amini katika vita vya Kagera?

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Leo nimesoma katika gazeti kwamba kuna mtaa huko Palestina utaitwa kwa jina la Nyerere ili kumuenzi katika kuwaunga mkono dhidi ya ukandamizaji toka Israel. Nakumbuka ikisemekana kuna wakati Nyerere aliagiza Tanzania inunue ndege mbovu mbili za Wapelestina ili mradi tu kuwaunga mkono katika mapambano yao. Mara kadhaa alimwalika kiongozi wao Arafat kuja Tanzania. Hata Nyerere alivunja uhusiano wa kibalozi na Israeli kwa sababu ya suala la Palestina.

Lakini nimejiuliza siku zote, je ni kweli Tanzania ilipoingia vita vya Kagera Wapelestina walitugeuka, wakatusaliti na kumsaidia Idd Amini kijeshi dhidi yetu? Hebu angalia kilichomo katika Wikipedia;

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jump to: navigation, search
The Uganda–Tanzania war (usually referred to in Uganda as the Liberation War) was fought between Uganda and Tanzania in 1978–1979, and led to the overthrow of Idi Amin's regime. Idi Amin's forces included thousands of troops sent by Muammar Gaddafi, and some Palestinian support.

War records
Tanzania
Uganda
Belligerents (Allies)
Tanzania, Mozambique, UNLA
Uganda, Libya, PLO
Leaders
Julius Nyerere, Samora Machel, Abdala Twalipo, Tumaini Kiwelu, Tito Okelo, Yoweri Museveni, David Oyite Ojok,
Idd Amini, Muammar Gaddafi
Strength
100,000 Tanzanians
6,000 Ugandan resistance troops
A Mozambican battalion

70,000+ Ugandan Army troops
3,000 Libyan troops
200+ Palestinian troops

Casualties and losses
373 Tanzanians
150 UNLA

~1,000 Ugandans
~600 Libyans

 
Kama nakumbuka vizuri,kulikuwa na makundi mawili ya wapiganaji wa Kipalestina. PLO iliyokuwa ikiongozwa na Yasser Arafat na ambayo ilikuwa ikiungwa mkono na Tanzania na kundi lingine kama sikosei Popular Front chini ya George Habash. Hili kundi la Habash lilikuwa likifadhili makundi ya kigaidi kama Black September na hata akina Carlos.

Na ndio wafuasi wake walioteka ndege 1976 na kuipeleka Uganda hadi ikatokea suala la Entebe raid.
Hao member wa kundi la Habash ndio walikuwa na mahusiano na Amin na wakati wa vita walimletea hata vijana wataalamu wa ndege.

Kwa vile Arafat na Habash nao hawakuwa na mahusiano mazuri,vijana hao wakipalestina waliokua kumsaidia Amin hawakuathiri mahusiano ya Tanzania na PLO. Hiyo ni kumbukumbu yangu.
 
Leo nimesoma katika gazeti kwamba kuna mtaa huko Palestina utaitwa kwa jina la Nyerere ili kumuenzi katika kuwaunga mkono dhidi ya ukandamizaji toka Israel. Nakumbuka ikisemekana kuna wakati Nyerere aliagiza Tanzania inunue ndege mbovu mbili za Wapelestina ili mradi tu kuwaunga mkono katika mapambano yao. Mara kadhaa alimwalika kiongozi wao Arafat kuja Tanzania. Hata Nyerere alivunja uhusiano wa kibalozi na Israeli kwa sababu ya suala la Palestina.

Lakini nimejiuliza siku zote, je ni kweli Tanzania ilipoingia vita vya Kagera Wapelestina walitugeuka, wakatusaliti na kumsaidia Idd Amini kijeshi dhidi yetu? Hebu angalia kilichomo katika Wikipedia;

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jump to: navigation, search
The Uganda–Tanzania war (usually referred to in Uganda as the Liberation War) was fought between Uganda and Tanzania in 1978–1979, and led to the overthrow of Idi Amin's regime. Idi Amin's forces included thousands of troops sent by Muammar Gaddafi, and some Palestinian support.

War records
Tanzania
Uganda
Belligerents (Allies)Tanzania, Mozambique, UNLAUganda, Libya, PLO
LeadersJulius Nyerere, Samora Machel, Abdala Twalipo, Tumaini Kiwelu, Tito Okelo, Yoweri Museveni, David Oyite Ojok, Idd Amini, Muammar Gaddafi
Strength100,000 Tanzanians
6,000 Ugandan resistance troops
A Mozambican battalion
70,000+ Ugandan Army troops
3,000 Libyan troops
200+ Palestinian troops
Casualties and losses373 Tanzanians
150 UNLA
~1,000 Ugandans
~600 Libyans

Kwa leaders team haijakamilika umewacha watu muhimu sana kuliko uliowaandika na ni LT GENERAL MAYUNGA NA MAJ. GENERAL WARDEN
 
Pamoja na yote yanayotokea Gaza, na dunia yote kuishutumu Israeli dhidi ya mashambulizi ya raia, binafsi naona kuwa Wapestina kuaminika kiasi ambacho watu wengi wanafikiria.

Kitendo cha Palestina kumuunga mkono Idd Amin dhidi yetu Tanzania katika Vita vya Kagera wakati huko nyuma tulikuwa tumewaunga mkono sana sintakaa nikisahau.

Na sasa, japo dawa ya kosa sio kosa jingine (two wrongs dont make a right), ubabe unaofanywa na Israel dhidi ya Wapelestina hauna tofauti ubabe wa Pelestina dhidi ya Israel. Tofauti ni kwamba katika ubabe wao Israel inaua raia wengi kuliko Palestina.
 
Israel ni kama mbwa anavyopenda kuua digidigi na Palestina ni kama paka anavyopenda kuua panya!
Haya mataifa ukiwa na vita yako leo ukienda kuwaomba msaada lazima wajitokeze. Mi naweza kuwaita kuwa ni vimbelembele wa vita hata Mungu anawafahamu tangu zamani. Wanapenda sana kuua kama mataifa flani yanavyopenda pombe au mengine yanavyopenda ngono au mengine yanavyopenda madawa ya kulevya. Majina ya nchi hizo mbili kuna haja yabadilishwe pengine na tabia zao zitabadilika. Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa SHIDA alikuwa anaishi maisha mabaya sana ya kuchoma mkaa na kulala vilabuni!..lakini baada ya kubadilishwa jina na viongozi wa dini kuwa BARAKA leo hii anamiliki maduka na jumba zuri la kifahari!!
inawezekana kweli Palestina walishiriki kwani wikipedia hawawezi kudanganya!
 
Israel ni kama mbwa anavyopenda kuua digidigi na Palestina ni kama paka anavyopenda kuua panya!
Haya mataifa ukiwa na vita yako leo ukienda kuwaomba msaada lazima wajitokeze. Mi naweza kuwaita kuwa ni vimbelembele wa vita hata Mungu anawafahamu tangu zamani. Wanapenda sana kuua kama mataifa flani yanavyopenda pombe au mengine yanavyopenda ngono au mengine yanavyopenda madawa ya kulevya. Majina ya nchi hizo mbili kuna haja yabadilishwe pengine na tabia zao zitabadilika. Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa SHIDA alikuwa anaishi maisha mabaya sana ya kuchoma mkaa na kulala vilabuni!..lakini baada ya kubadilishwa jina na viongozi wa dini kuwa BARAKA leo hii anamiliki maduka na jumba zuri la kifahari!!
inawezekana kweli Palestina walishiriki kwani wikipedia hawawezi kudanganya!
kama umeitukana israel kuwa ni mbwa, wewe utakuwa mtoto wa nguruwe kabisa. huna maana.
 
Wewe ni nguruwe kabisa.
Israel ni kama mbwa anavyopenda kuua digidigi na Palestina ni kama paka anavyopenda kuua panya!
Haya mataifa ukiwa na vita yako leo ukienda kuwaomba msaada lazima wajitokeze. Mi naweza kuwaita kuwa ni vimbelembele wa vita hata Mungu anawafahamu tangu zamani. Wanapenda sana kuua kama mataifa flani yanavyopenda pombe au mengine yanavyopenda ngono au mengine yanavyopenda madawa ya kulevya. Majina ya nchi hizo mbili kuna haja yabadilishwe pengine na tabia zao zitabadilika. Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa SHIDA alikuwa anaishi maisha mabaya sana ya kuchoma mkaa na kulala vilabuni!..lakini baada ya kubadilishwa jina na viongozi wa dini kuwa BARAKA leo hii anamiliki maduka na jumba zuri la kifahari!!
inawezekana kweli Palestina walishiriki kwani wikipedia hawawezi kudanganya!
 
Back
Top Bottom