Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Muhimu: sio kila mke alieajiriwa ofisini ana cheat, wapo wenye misimamo
Jamani huku maofisini hata sisi wa maofisini tungeyajua haya mapema basi wengi wangeoa wake wa majumbani tu.
Mazingira ya kazini yanachochea sana mke wa mtu kucheat.
1. Masupervisor na mabosi wanaomsimamia mke wako wana sauti na Mamlaka kukuzidi wewe huko kazini, kitendo cha mke wako kuwa chini yao kunafungua nafasi za rushwa za kupanda au kutunza vyeo, kuwa mbadala wa msamaha wa makosa, kuzuia kufukuzwa kazi, n.k. Hasa kwa makampuni binafsi
2. Huku Makazini huwa ni kama tupo vyuoni, mnajikuta wote kama vijana na mpo huru, inatokea kipindi mtu kavutiwa na flani basi anatesti zali na mahusiano yanaanza
3. Utani na masikhara yaliyozidi maofisini, suala la kuita mke wa mtu mchuchu, honey, n.k. Ni kawaida sana na maneno huwa yanaumba,
4. MA ex wa kazini hawa ndo wabaya zaidi, penzi likianza upya huwa ni moto na hapa Kumbuka mke wako anaishinda kazini asubuhi hadi jioni, hio mida ya lanchi ama wakitoka huwa kuna action za kufa mtu...
Yote kwa yote mke kwenda kazini inabidi angalau awe na misimamo,
Jamani huku maofisini hata sisi wa maofisini tungeyajua haya mapema basi wengi wangeoa wake wa majumbani tu.
Mazingira ya kazini yanachochea sana mke wa mtu kucheat.
1. Masupervisor na mabosi wanaomsimamia mke wako wana sauti na Mamlaka kukuzidi wewe huko kazini, kitendo cha mke wako kuwa chini yao kunafungua nafasi za rushwa za kupanda au kutunza vyeo, kuwa mbadala wa msamaha wa makosa, kuzuia kufukuzwa kazi, n.k. Hasa kwa makampuni binafsi
2. Huku Makazini huwa ni kama tupo vyuoni, mnajikuta wote kama vijana na mpo huru, inatokea kipindi mtu kavutiwa na flani basi anatesti zali na mahusiano yanaanza
3. Utani na masikhara yaliyozidi maofisini, suala la kuita mke wa mtu mchuchu, honey, n.k. Ni kawaida sana na maneno huwa yanaumba,
4. MA ex wa kazini hawa ndo wabaya zaidi, penzi likianza upya huwa ni moto na hapa Kumbuka mke wako anaishinda kazini asubuhi hadi jioni, hio mida ya lanchi ama wakitoka huwa kuna action za kufa mtu...
Yote kwa yote mke kwenda kazini inabidi angalau awe na misimamo,