Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Wadau kwa siku mbili zilizopitz nilikuwa katika mji wa Geita Mwanza habari zilizoenea ni kwamba mbunge wao Reonard Max amezuiwa kuhudhuria vikao vya bunge kutokana na kashfa ya kufumaniwa na mke wa mtu je kuna ukweli katika hili au ndo si hasa?