uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,000
- 8,392
Timu ya Manchester City imemwaga mapesa kwa beki wa kawaida na kumfanya ndio awe Beki ghali zaidi Duniani.
Manchester City imemwaga milion 90, je, ni kweli uyu dogo anastahili hili dau?
Ikumbukwe toka dunia iumbwe hakuna beki aliyewahi kununuliwa mapesa mengi hivi.
Dogo ana mpira laini sana kwa Ligi ya Uingereza, atageuka mchomaji mkubwa pale City.
Liverpool wajilaumu wenyewe tu kwasababu ndoto ya dogo ilikuwa kucheza liverpool ila pesa zimempeleka City.
Manchester City imemwaga milion 90, je, ni kweli uyu dogo anastahili hili dau?
Ikumbukwe toka dunia iumbwe hakuna beki aliyewahi kununuliwa mapesa mengi hivi.
Dogo ana mpira laini sana kwa Ligi ya Uingereza, atageuka mchomaji mkubwa pale City.
Liverpool wajilaumu wenyewe tu kwasababu ndoto ya dogo ilikuwa kucheza liverpool ila pesa zimempeleka City.