sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,070
Bado hii ndiyo mission mama anaupiga! Kuinua znz na kudidimiza bara! Anajijengea uwezo wa kidikteta ambao hakuna anayeweza mgusa! Ni zaidi ya JPM. Alishasema "miye mpemba najua kupuliza"Wazanzibar ni watu wapaguzi haswa hawafai
Maza hafai hata kidogoBado hii ndiyo mission mama anaupiga! Kuinua znz na kudidimiza bara! Anajijengea uwezo wa kidikteta ambao hakuna anayeweza mgusa! Ni zaidi ya JPM. Alishasema "miye mpemba najua kupuliza"
Mlielewa eti eh! Magufuli anayejitetea kwa upole huku akiua na kuzika kimya kimya aka magufulista!