Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,136
- 34,108
Asalaam Aleykhum warahmatullah Wabarakatul....!
Wadau hasa Waislam (Ndugu katika Imaan) naomba kujuzwa kuwa ni kweli Kiarabu ambacho kilitumika katika Quran iliyoshushwa na katika Hadith ndio pekee itatumika Peponi?
Hii ni kwasababu kuna Ustadh mmoja huwa anasisitiza Waislam waache kusoma lugha zingine na badala yake wasome Kiarabu ambayo ni Lugha ya Peponi
Aidha leo katika ukurasa wa Twitter nikaona Mdau mwingine akisisitiza hilo.
Wadau hasa Waislam (Ndugu katika Imaan) naomba kujuzwa kuwa ni kweli Kiarabu ambacho kilitumika katika Quran iliyoshushwa na katika Hadith ndio pekee itatumika Peponi?
Hii ni kwasababu kuna Ustadh mmoja huwa anasisitiza Waislam waache kusoma lugha zingine na badala yake wasome Kiarabu ambayo ni Lugha ya Peponi
Aidha leo katika ukurasa wa Twitter nikaona Mdau mwingine akisisitiza hilo.