Hivi karibuni wa mheshimiwa mr ii amekaririwa akifananisha jeshi letu la polisi na lile la mkoloni hasa kwa makombati wanayovaa, na amesema walistahili kuvaa kwa mfano wa dactari, air hostess, nk;
Teh teh teheeeeeeeee! Hata elimu waangaliwe vizuri kabla ya kuajiriwa nafikiri hata mafunzo wanayopewa ni dhaifu, inabidi wafundishwe namna ya kuhendo watuhumiwa kwa kutumia akili na sio nguvu zinazosababisha uharibifu wa mali. Pia sheria iangaliwe maana polisi wanauwa raia kwa risasi za moto halafu wanajeshi wapo kimya kabisa, eti nchi ina amani, upuuzi mtupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.