SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Usijisahau sana mkuu, kunasheria humu inaitwa "name calling"Huyo mtu huwezi kumuona wiki nzima humu yupo kwenye majonzi ya mimba feki, wao wanaugulia zaidi ya huyo boss wao aliyefeki mimba ukimtaka kwa haraka nenda istagram sachi wemareplies ndo jina analolitumia huko ukamuone anavyolia.
Atakureport silently, tahamaki ujishtukie uko banned.