RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
Wadau wa Jf hivi kwanini? Mbunge wa monduli na wa urambo mashariki huwa hawajadiri au kuchangia hoja zinazo wahusu wtz moja kwa moja. Suala kama la jairo, wizara ya uchukuzi,wizara ya nishati na madini kuhusu dharura, sheria ya ununuzi wa vitu vilivyotumika kwa dharura na Hili kubwa kuliko la muswada wa katiba. Tumeona sitta ametaka asionekane mnafki amejidai kwenda india kumjulia hali swaiba wake na ndugu lowassa akiwa bungeni akisikiliza vilaza wenzie wanavyo bwabwaja bila aibu. Je kutochangia kwa hawa wabunge ni kuepuka migongano na wananchi kwa kuwa wana malengo ya muda mrefu kisiasa?