mpuuzi
Member
- May 29, 2010
- 99
- 17
Mimi hadi sasa siamini kama Muungwana ni kiongozi mbovu kama wengi wanavyoamini. Ila ninachojua alivyoanza kazi hakuwa mwangalifu na ndio maana anatumia nguvu nyingi sasa ku rectify mambo na bado jahazi linayumba sana.
Wana JF, tunaweza kusema waziwazi kuwa kosa kubwa sana la Muungwana lilikuwa wapi? Na endapo akirekebisha hilo nchi haitayumba?
Wapo wengine wanaodai kuwa alikosea kwenye baraza lake la kwanza la mawaziri alipoweka mawaziri 60 ambao hawakuwa na tija.....
Wengine wanasema alikosea kuweka maswahiba wake kiasi ambacho alishindwa kuwakemea pindi wafanyapo madudu...
Wapo wanaosema kuwa ziara zake nyingi mwazoni kabisa mwa utawala wake zilimkosesha direction
tusaidiane jamani, tumsaidie Rais wetu huenda na yeye hajui alikosea wapi!
Wana JF, tunaweza kusema waziwazi kuwa kosa kubwa sana la Muungwana lilikuwa wapi? Na endapo akirekebisha hilo nchi haitayumba?
Wapo wengine wanaodai kuwa alikosea kwenye baraza lake la kwanza la mawaziri alipoweka mawaziri 60 ambao hawakuwa na tija.....
Wengine wanasema alikosea kuweka maswahiba wake kiasi ambacho alishindwa kuwakemea pindi wafanyapo madudu...
Wapo wanaosema kuwa ziara zake nyingi mwazoni kabisa mwa utawala wake zilimkosesha direction
tusaidiane jamani, tumsaidie Rais wetu huenda na yeye hajui alikosea wapi!