Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,232
Pengine mpo sehemu tena katikati ya watu wengi, kikao, lecture au sehemu ya utulivu, utamwona mdada anabinua binua mdomo anaji-selfie, mara ajichekeshe ajipige, Mara kama anajidekeza ili mradi apate pozi. Yaani kama upo naye lazima uone aibu mbele za watu (aibu naona mimi MO11).
Wengine hata sehemu ambayo unaona si sahihi kusimama au ni kama mnajichoresha utasikia, ''please shika simu yangu unipige picha". Ukipiga atakuambia rudia haijatoka, mara ooh nataka ya hivi anajizungusha ageuze nyuma, kero tupu.
Wadada muwe mnaangalia na sehemu za kujichekesha na selfie zenu.
Wengine hata sehemu ambayo unaona si sahihi kusimama au ni kama mnajichoresha utasikia, ''please shika simu yangu unipige picha". Ukipiga atakuambia rudia haijatoka, mara ooh nataka ya hivi anajizungusha ageuze nyuma, kero tupu.
Wadada muwe mnaangalia na sehemu za kujichekesha na selfie zenu.
Last edited by a moderator: