D2K
Member
- Nov 21, 2010
- 11
- 1
Habari za asubuh wanaJF, ni mmoja kati ya wa2 wanaoathiriwa na ugonjwa wa ukosefu wa AJIRA hapa nchini hvyo nimekaa na kufikiria nikaona ni bora niombe ku2mikia ofic za watu hata kama ctalipwa ili mradi ujuz nilio nao ucje ukapotea,swali je natakiwa niandike barua ya INTERNSHIP au VOLUNTEERING?