Nimeona clip za video zikiwaonesha Diamond akiwa Kahama na Harmonise akiwa Mtwara, wakirusha fedha na wanachi wakizigombania. Nauliza tu imekaaje kwenye sheria zetu za fedha?
Mh.🤔🤔🤔 Afadhari ya hao wanagawa fedha bila ubaguzi kwa kuzirusha na yule anayegawa fedha kwa ubaguzi kwa kusimamisha msafara wake....! (Just a joke)
Ila naamini kila mtu ana uhuru wa kutumia fedha yake namna anavyoona inafaa cha msingi avunji sheria. Kwa upande wa wasanii ni kuleta hamasa katika show zao.
Nimeona clip za video zikiwaonesha Diamond akiwa Kahama na Harmonise akiwa Mtwara, wakirusha fedha na wanachi wakizigombania. Nauliza tu imekaaje kwenye sheria zetu za fedha?
daahh... nimecheka sana hizi comnt, hakuna hata mmoja anaesema diamond achukuliwe hatua au anavunja sheria, nikajiuliza kwanini!? kumbe ni kua kuna vifutu wawili wao kutwa kugawa fedha na SAA nyingine wakigawa kama zawadi tena kwa upendeleo kitu ambacho kinawaumiza watu, basi wanaona bora diamond anaegawa kwa kila mtu bila kujali😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.