mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Nawashangaa sana mtu ambaye ni Kijana,mwenye kujua dunia ipo vipi leo ulimwengu wa ICT, ukawa ni mwanachama wa CCM!. Haiwezekana! ni aibu. siwezi kushanga saana maana pia wapo wanaoabudu shetani lakini dud......inatisha. Lakini CCM sii chama tena, ni genge la wezi na matapeli. tanzania ni Maskini kwa sababu ya CCM. tangu dunia iubwe tunaitwa maskini wakati wazungu wanatajirikia hapa kwetu? Wazungu maisha yao bora wanayapata Africa, tanzania ati. Hakuna mtu mdanganyifu duniani kama Kikwete (JK=Janga la Kitaifa). Jk ameharibu usalama wa taifa, wamebaki kupambana na upinzani badala ya kulinda na kuangalia maslahi ya Taifa?!!. kama vile rushwa na wizi. Hakuna watu hovyo duniani kama wana CCM.