Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Tujitahidi kusoma vitabu na kuelewa dhumuni là fungà na futru. Tunaweza kuwadanganyà binadamu lakini kamwe Mungu hadanganyiki. Zaidi tunachofanyà ni dhihàka kwake.
Tunaalika watu wa mlengo fulani (ubaguzi) lakini kikubwa zaidi tunaalika watu waliokula Milo 3 mchana na bado wanatutangazia wanakwenda kufutru? Mungu hapokei dhihàka tunazofanya na kuzibaliki, Bali tunajitengenezea laana Kwa kuandaa futari za kisiasa, kujipendekeza na kujionyesha.
Mwaka Jana niliona Wakuu wa mikoa, MaRPC, bàadhi ya Wakurugenzi tena wengi Wakristo wakiandaa walichokiita futari na kuita matajiri wa mikoa yao na viongozi wa chama tawala na mwisho kukawa na hotuba za wanasiasa + Mashehe.
Hizi ni dinner party msimtanie Mungu.
Tunaalika watu wa mlengo fulani (ubaguzi) lakini kikubwa zaidi tunaalika watu waliokula Milo 3 mchana na bado wanatutangazia wanakwenda kufutru? Mungu hapokei dhihàka tunazofanya na kuzibaliki, Bali tunajitengenezea laana Kwa kuandaa futari za kisiasa, kujipendekeza na kujionyesha.
Mwaka Jana niliona Wakuu wa mikoa, MaRPC, bàadhi ya Wakurugenzi tena wengi Wakristo wakiandaa walichokiita futari na kuita matajiri wa mikoa yao na viongozi wa chama tawala na mwisho kukawa na hotuba za wanasiasa + Mashehe.
Hizi ni dinner party msimtanie Mungu.