Ni dhahiri Yanga inataka kuleta fujo kwenye soka la Tanzania, Ikemewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,440
222,651
Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .

Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .

Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
 
Yanga walifungiwa na Fifa kwa kutolipa faini ya Sh 300M.

Yanga princess walikuwa na mgomo kufuatia kutolipwa mishahara pamoja na signing fee.

Yanga imeshindwa kwenda nje kuweka kambi kwa ajili ya pre season kwasababu ya Ukata.

Yanga imekuwa kama community ya wazee kila siku vikao kujadili namna ya kumbakisha Mayele huku mchezaji mwenyewe akitaka kulipwa M40 per month.

Halafu thamani ya Chama ni 2.3B.

Unategemea hiyo hela ilipwe kutoka kwenye mfuko gani?

Ishu ya Chama wengine tushaanza kuzoea maana kila msimu wa usajili lazima kuwe na tetesi zake.

Yanga wanaokaa vikao kila muda kumjadili Mayele aliyewafanyia makubwa na kushindwa kufika muafaka ndio uwategemee wamnunue Chama kwa 2.3 B?
 
Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .

Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .

Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
Si Ahmed Alli alianza kutamba? na je, ya Morrison ushasahau?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Yanga walifungiwa na Fifa kwa kutolipa faini ya Sh 300M.

Yanga princess walikuwa na mgomo kufuatia kutolipwa mishahara pamoja na signing fee.

Yanga imeshindwa kwenda nje kuweka kambi kwa ajili ya pre season kwasababu ya Ukata.

Yanga imekuwa kama community ya wazee kila siku vikao kujadili namna ya kumbakisha Mayele huku mchezaji mwenyewe akitaka kulipwa M40 per month.

Halafu thamani ya Chama ni 2.3B.

Unategemea hiyo hela ilipwe kutoka kwenye mfuko gani?

Ishu ya Chama wengine tushaanza kuzoea maana kila msimu wa usajili lazima kuwe na tetesi zake.

Yanga wanaokaa vikao kila muda kumjadili Mayele aliyewafanyia makubwa na kushindwa kufika muafaka ndio uwategemee wamnunue Chama kwa 2.3 B?
Wambura alieleza vizuri kuhusu utata uliotokea katika malipo yaliyofanywa na Yanga kwenda kwa aliyekuwa kocha wake. Kikubwa fedha zishalipwa na Yanga wako free kuendelea kusajili,

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
mambo yako wazi sana
Huja onesha huo uwazi zaidi ya malalamiko.

Yanga usajili kishafunga zamani sana msimu huu kasajili wachezaji 6,wawili wa ndani na wanne wa kigeni.

Halafu hata kama wakimtaka Chama sio kosa na sijaona labda kuonesha kanuni waliyo ivunja Yanga.

Mwanzoni mwa mwaka huu kwenye instastory yake Chama alisema mkataba wake unaisha,mwezi wa sita mwaka huu so kama Simba hawaja ingia nae mkataba mpya ina maana Chama ni mchezaji free.
 
Wambura alieleza vizuri kuhusu utata uliotokea katika malipo yaliyofanywa na Yanga kwenda kwa aliyekuwa kocha wake. Kikubwa fedha zishalipwa na Yanga wako free kuendelea kusajili,

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ndio walilipa hilo tunajua ila usumbufu wa kumzungusha Lucy Eymael ndio naouzungumzia hapa.

Mlilipa nje ya muda ambao mlipangiwa, na malipo yalikuwa na faini.

Kama Club iliweza kusuasua kufanya malipo kwenye pesa ndogo kama ile, je hii 2.3B ambayo hata kwenye mauzo ya jezi hawaipati unafikiri wataweza?
 
Yanga walifungiwa na Fifa kwa kutolipa faini ya Sh 300M.

Yanga princess walikuwa na mgomo kufuatia kutolipwa mishahara pamoja na signing fee.

Yanga imeshindwa kwenda nje kuweka kambi kwa ajili ya pre season kwasababu ya Ukata.

Yanga imekuwa kama community ya wazee kila siku vikao kujadili namna ya kumbakisha Mayele huku mchezaji mwenyewe akitaka kulipwa M40 per month.

Halafu thamani ya Chama ni 2.3B.

Unategemea hiyo hela ilipwe kutoka kwenye mfuko gani?

Ishu ya Chama wengine tushaanza kuzoea maana kila msimu wa usajili lazima kuwe na tetesi zake.

Yanga wanaokaa vikao kila muda kumjadili Mayele aliyewafanyia makubwa na kushindwa kufika muafaka ndio uwategemee wamnunue Chama kwa 2.3 B?
Ndio hapo Sasa
Yanga omba omba hela watoe wapi ?
Si mnaona mpaka wameporwa na Simba mchezaji pale airport
Simba inajipa pressure bure
 
Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .

Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .

Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
Kama Feisal tu,naposemaga watanzania hamna akili ndio kama hivi sasa
 
Back
Top Bottom