profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,488
- 3,142
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Wakuu ni dawa gani inaweza kutibu viuvimbe na vidonda sehemu ya haja kubwa,na wakati wa kujisaidia damu inamwagika na maumivu makali,
pia vinawasha sana.
Ni dawa gani ninunue dukani inayoweza kunisaidia.
Wakuu ni dawa gani inaweza kutibu viuvimbe na vidonda sehemu ya haja kubwa,na wakati wa kujisaidia damu inamwagika na maumivu makali,
pia vinawasha sana.
Ni dawa gani ninunue dukani inayoweza kunisaidia.