kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,528
- 1,946
Baba mi najua kuitengeneza gongo ni distillation process kumbe baada ya kusoma nikajua
Sio kama nakushangaa iyo bibi katulelea na komoni mkuu
Baba mi najua kuitengeneza gongo ni distillation process kumbe baada ya kusoma nikajua
Daaa Mungu mwemaSio kama nakushangaa iyo bibi katulelea na komoni mkuu
Maisha ni mazuri mkikutana mnaoelewanaIli kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Akujifungua sukari.. kweli umasikini mbaya.Mke wangu kushindia mua tu tena akiwa mjamzito. Mungu atusaidie kwa kweli.
Tupo sana sana mm ni mmoja wapoMi pia nimejiuliza wanawake wa hivi wapo bado.
Hapana, alijifungua wewe. Kwani hujui Mke wangu ni mama yako? Njoo leo utanikuta nimevaa boxer tu na mama yako amevaa mtandio laini huku shanga zake zipo nje.Akujifungua sukari.. kweli umasikini mbaya.
Naomba nijue maana ya kutembelea chaki.Hii kutembelea chaki inakuaga kama miujiza flani hivi lakini unashangaa siku zinaenda asee Mungu mkubwa.
Ipo wapi hio nyumba 🤔Changamoto ni kubwa. Kuna nyumba inauzwa bei ya IST used na uwanja ni mkubwa ila kipengele noti🤣
You guy....My guy....Kuna muda niko Dar mwaka 2016-17.
Baada ya kufukuzwa kazi serikalini kipindi cha Magufuli na kufilisika na kukosa pa kushika, Nilibakiwa na suruali moja ikachanika bahati mbaya kwa msumari wa kwenye benchi nikashona kiraka kabisaa kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.
Nilishatembea hadi Tandale ndani ndani kwa Mama mmoja hivi kwenda kula msosi wa buku na nilikula jioni hiyo tu hadi kesho tena jioni. Kodi ya nyumba iliisha nikaishia kulala chumba cha mlinzi.
Bahati nzuri baada ya mwaka nikalipwa pesa yangu kutoka PSSSF zaidi ya milion 8.
Siku hiyo niliheshimu pesa na kutoutamani tena umaskini. Nilifanya biashara zangu kwa bidding na maarifa. Thanks God sasa hivi nakula ninachokitaka na sio ninachokipata.
Money is sweet
See God now!!!!What's good, my good friend My Makiwendo. Tokea huku Zanzibar tuenjoy best.
Maisha sasa hivi mazuri I can afford kula na kulala hata kwenye fancy hotel na wanene kuna kipindi it was horrible situation.
Kwa sasa wananiita Bosi kazi, nishatemana na umaskini.
Sasa hivi namshukuru Mungu kwa wema wake kwangu nakula vinonoView attachment 2662420View attachment 2662421
Mzee baba upo?Kuna muda niko Dar mwaka 2016-17.
Baada ya kufukuzwa kazi serikalini kipindi cha Magufuli na kufilisika na kukosa pa kushika, Nilibakiwa na suruali moja ikachanika bahati mbaya kwa msumari wa kwenye benchi nikashona kiraka kabisaa kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.
Nilishatembea hadi Tandale ndani ndani kwa Mama mmoja hivi kwenda kula msosi wa buku na nilikula jioni hiyo tu hadi kesho tena jioni. Kodi ya nyumba iliisha nikaishia kulala chumba cha mlinzi.
Bahati nzuri baada ya mwaka nikalipwa pesa yangu kutoka PSSSF zaidi ya milion 8.
Siku hiyo niliheshimu pesa na kutoutamani tena umaskini. Nilifanya biashara zangu kwa bidding na maarifa. Thanks God sasa hivi nakula ninachokitaka na sio ninachokipata.
Money is sweet
Nipo mzawa.. mzima wewe? Mambo tu yamekuwa mengi.Mzee baba upo?
Msalimie CCNP Engineer
Me sipokeagi sim wala sitaki mazoea na mtu yoyote ambaye kipindi sina kitu hakuona thaman yangu hasa ndugu nimewapunguza wengi sanaSiku Ukipata kaunafuu, wanaanza kukupigia eti "nilikuwa nakusalimia tu" wtf
Nimesoma hii Comment yako machozi yamenilengaHata mimi naamini hivyo. Hii dunia haikuwa mahala pake.
Yule jamaa alikuwa na roho ya kipekee. Hakusubiri kuombwa.
Hii story yangu ni cha mtoto, baada ya mauti yake waliibuka wengi mno. Kuna aliowapa hifadhi ya makazi, aliowapa mitaji na hata aliolipia ada za watoto wao.
Kuna binadamu Mungu aliwaumba waje kuwa mfano wa wema tu kwa binadamu halafu waondoke.
Kuna level ya dhiki ukipitia huwezi furahia madhila ya mwenzio haijalishi alikukosea kiasi gani.
Na ukiona unafurahia matatizo ya mwenzio basi elewa matatizo yako yalikuwa ni ujira wako na sio mapito.