Naona live kwenye TBC sasa hivi mkutano mkuu wa CCM (national congress) ukiendelea Dodoma. Sehemu kubwa ya mkutano umechukuliwa na burudani za muziki wa ToT, TMK, Dokii, Flora Mbasha, vijana wa chuo na kadhalika. Wasanii kama kina Dokii wakisha perform wanapanda high table na kuruhusiwa kuwakumbatia kina marais na kuomba pesa. Naona hata Kikwete na Mzee Mkapa wametoa pochi na kugawa pesa kwa kina Dokii.
Kikwete meno nje, yuko excited kama mtoto akiona pipi na ametoa macho kusherekea muziki wa Bongo fleva. Nyimbo ni za kumsifia Kikwete tuuu. Mkapa anaonekana yuko bored balaa.
Kweli Rais tunaye!
Kikwete meno nje, yuko excited kama mtoto akiona pipi na ametoa macho kusherekea muziki wa Bongo fleva. Nyimbo ni za kumsifia Kikwete tuuu. Mkapa anaonekana yuko bored balaa.
Kweli Rais tunaye!