Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Nimependa mno surprise hii, sabuni zipo za kutosha nitamuogesha tu. Ila lita 5 za mafuta ya kula atazioga itakuwa ni alfajiri.
Haina effect kiafya?
Wajuvi
Haina effect kiafya?
Wajuvi
Acha kuvuta bangiNimependa mno surprise hii,sabuni zipo za kutosha nitamuogesha tu. Ila lita 5 za mafuta ya kula atazioga. Itakuwa ni alfajiri.
Haina effect kiafya?
Wajuvi
Haina, mmwagie tu.Nimependa mno surprise hii,sabuni zipo za kutosha nitamuogesha tu. Ila lita 5 za mafuta ya kula atazioga. Itakuwa ni alfajiri.
Haina effect kiafya?
Wajuvi
Bollywood masalaHivi mnamwagiana maji na mafuta ili iweje?
Mi naonagaujinga tu.
Mnajitafutia laana tu watu wanahangaika kupata mafuta nyie mnamwaga si unigawie mimi nina shida nayo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Zee KorofiAcha kuvuta bangi
Mhh lita za mafuta?? Unataka uende kwa mparange nnNimependa mno surprise hii,sabuni zipo za kutosha nitamuogesha tu. Ila lita 5 za mafuta ya kula atazioga. Itakuwa ni alfajiri.
Haina effect kiafya?
Wajuvi