Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 11,406
- 21,447
Vocha
Media sijui wanapataje helaFunguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.
Pesa Ina siri kubwa sana Mshikaji wangu 😂Duka la vyupi, duka la jumla ye ananunua elf 9 anauza elf 10...means faida buku.
Kodi laki na nusu kwa mwezi, muuzaji mshahara laki na nusu bado kula nauli. 🤔
Linapewa msaada mpaka na USAID, UNDP hii ni NGOJamiiforums ni kama Shirika lisilo la kiserikali hivyo linasaidia kukuza demokrasia hivyo wana wafadhili
Malaya wa TEMEKE wanashida Sana 😂😙😀😀
We na mwamposa Nani ana pesa?Dini
biashara ya kahawa na kashata
Ushawahi kusikia riziki mafungu sabaMaduka ya simu kariakoo, yapo zaidi ya 200 na katika kila duka Kuna meza zaidi ya 5. Huwa najiuliza hawa wanauza Kweli, kama Hawauzi mbona jengo likijengwa tu unakuta frem zishaisha
Umemsahau mmoja hapo TTCLUDART ,TANESCO na ATCL...hivi kwanza hawa washawahi kutengenza faida ? Kama hawatengenezi faida mbona hawafirisiki?
-hawana wapinzani kwenye delta zao
-wanakabidhidhiwa vifaa vyote
-wanalindwa kisheria
Kuna wanao Pata commission hadi M kwenye till moja tu... Kikubwa mtaji na mzunguko wa biashara... Kama mteja akitaka kutoa M2, 3..... Huna utapataje commission ya M??Japo mwenyewe nafanya biashara ya uwakala lakini sioni faida najiuliza wenzangu wanapataje faida vicommission vidogo dogo sijui sh 20, 30... kodi ya frame 150,000/= × 6 unategemea itarudi vipi?
Haya yanaedeshwa kwa kodi za serkali.UDART ,TANESCO na ATCL...hivi kwanza hawa washawahi kutengenza faida ? Kama hawatengenezi faida mbona hawafirisiki?
-hawana wapinzani kwenye delta zao
-wanakabidhidhiwa vifaa vyote
-wanalindwa kisheria
Bagamoyo road mengi yako tupuKuendelea kujengwa haina maana kwamba ndiyo.
Yani mpaka around miaka hii,kuna mengi office space zipo empty, Fanya tafiti fupi,,
Kuna harufu ya Money Laundering....
Pepo firdausMagaidi wanapata faida gani?.
Bila kusahau na wanasiasa nahisi huwa Wana contribute indirectly or direct wayNavojua mie JF ni NGO (non profit organisation). It's not a company. Kwahiyo ikiwa ni NGO, inajiendesha kwa pesa za Donors. Ikishakuwa NGO, haitakiwi kujiendesha kama kampuni ya kujipatia faida. Ndio maana huoni hata matangazo humu wakati wana uwezo wa kuweka matangazo makubwa na kutengeneza pesa ya uhakika kabisa.
Sema JF ina jina kubwa, kwahiyo kupata Donors wa uhakika ni jambo la kawaida tu.
Kingine, NGOs hupata fedha za kujiendesha kupitia kuandika projects mbalimbali then zinakuwa funded.
Ya uwakala wa pesa/ simuFunguka huenda ukapewa miongozo na wakuu hapa JamiiForums.