Ni aibu kubwa sana kwa waandishi wa habari kukubali kujidhalilisha kwa kudhalilisha taaluma yenu

HANGAYA THE CHIEF

JF-Expert Member
Sep 10, 2021
329
947
Nimefuatilia siku hizi mbili tatu za sakata la uuzwaji wa bandari ya tanganyika, kwa waarabu wa dubai, kazi wanayoifanya waandishi wa habari ni ya kipuuzi sana, ni bora wangechagua kukaa kimya kuliko kupotosha habari.

Kiufupi dunia imebadilika sana na watu wanachagua source ya kuwabarisha, poleni sana waandishi mnakubali kuisaliti taaluma yenu kwa vipande thelathini vya fedha, ni aibu yenu na aibu ya taaluma yenu, kwa maisha yenu yote.

Mmeingia kwenye historia ya ajabu sana.
 
Nimefuatilia siku hizi mbili tatu za sakata la uuzwaji wa bandari ya tanganyika, kwa waarabu wa dubai, kazi wanayoifanya waandishi wa habari ni ya kipuuzi sana, ni bora wangechagua kukaa kimya kuliko kupotosha habari.

Kiufupi dunia imebadilika sana na watu wanachagua source ya kuwabarisha, poleni sana waandishi mnakubali kuisaliti taaluma yenu kwa vipande thelathini vya fedha, ni aibu yenu na aibu ya taaluma yenu, kwa maisha yenu yote.

Mmeingia kwenye historia ya ajabu sana.
Wakiandika ya upinzani tu ndio wanakua professionals?

Where is this country going?
 
Nakala imfikie ndugu Pascal Mayalla
Nimefuatilia siku hizi mbili tatu za sakata la uuzwaji wa bandari ya tanganyika, kwa waarabu wa dubai, kazi wanayoifanya waandishi wa habari ni ya kipuuzi sana, ni bora wangechagua kukaa kimya kuliko kupotosha habari.

Kiufupi dunia imebadilika sana na watu wanachagua source ya kuwabarisha, poleni sana waandishi mnakubali kuisaliti taaluma yenu kwa vipande thelathini vya fedha, ni aibu yenu na aibu ya taaluma yenu, kwa maisha yenu yote.

Mmeingia kwenye historia ya ajabu sana.
Please be specific, waandishi wa habari tumefanya nini?. Mimi ni mwandishi, nimeandika makala 4, kuhusu hili, tumepotosha wapi?, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
P
 
Nimepata taarfa kuwa wahariri wa vyombo vya habari Tanganyika kuanzia magazeti,redio hadi television wamepewa onyo taarfa zozote zinazohusu uuzwaji wa bandari (nchi)
kwa waarabu ambao wanasifika duniani kwa uharibifu na kuharibu nchi za watu.

zitatoka kwenye chanzo cha utawala wao kamwe wasireport chochote

Na watakaoripoti watapewa maudhui

Watanganyika amkeni mtauzwa kwa waarabu mtakuwa watumwa ndani ya nchi yenu hadi vizazi vyenu vya tano vitatawaliwa na waarabu
 
Zembwela aatahabika sana kutetea bandari pale Wasafi,ametoka kabisa kwenye uhalisia wake,namuona Kitenge ndani ya Zembwela.
 
Akili za serikalini zinawatosha wenyewe.

Ata wakionyeshwa njia sahihi ya ku deal na misinformation wao wataenda na mbinu za hovyo.

Maharage Chande ameonyesha njia, anakutana na wahariri yeye mwenyewe na wataalamu mbali mbali wa TANESCO. Kazi yao ni kujibu hoja zinazoletwa, kutoa ufafanuzi na kupokea ushauri.

Baada ya hapo ata hao wahariri inakuwa shida kuandika uongo kwa sababu majibu ya kitaalamu wameshapewa.

Sasa wao badala ya kufanya kitu kama icho kwenye hili sakata wapo busy kuwatuma hakina Chongolo, Zungu kuongea na wana CCM wenzao.

Communication serikalini ni shida, wakishindwa kutoa somo wanataka kutumia utemi; hovyo kweli.
 
Zembwela aatahabika sana kutetea bandari pale Wasafi,ametoka kabisa kwenye uhalisia wake,namuona Kitenge ndani ya Zembwela.
shida ndio inaanzia hapo, zembwela kasomea wapi uandishi wa habari?, na angalia wote wanaojifanya waandishi sio waliosoma hii taaluma, yaani hii taaluma ina vishoka wengi, waliosomea wenyewe wamewekwa pembeni, wanaotamalaki ni wahuni tu wapiga kelele kwenye viredio


waandishi wa habari tengenezeni taaluma yenu, tengenezeni maadili yenu muwe na misimamoo yenu kwenye taalumu yenu, mmeshapuyanga. angalieni mlipojikwaa tengenezeni taifa lenu la Tanganyika kwa vizazi vijavyo, inakufaani nini kulipwa Mpesa kwa taifa kupoteza mabilio ya pesa?
 
Back
Top Bottom