Ni aibu Chadema kutolipa Wafanyakazi mishahara kwa miezi 6 kwa kisingizio cha kukosa Ruzuku!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,953
146,159
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
 
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Wawalipe haraka....

Ninamsubiri kwa hamu mh.Patrobass P.Katambi awashukie kama mwewe vile 🤣🤣🤣
 
Yaani wanapewa RUZUKU ili wajilipe mishahara khaaaa🤣🤣

Ndio maana CHADEMA inayumba kiitikadi huko pembezoni mwa nchi zaidi ya MATUSI NA KEDI TU ....
 
Mmawia anakesha akiliwa na mbu pale Ufipa kulinda ofisi lakini mshahara halipwi mwezi wa 6 huu.

Muoneeni huruma kijana wetu.
DAAAA jamani mbowe hebu ona hururma kwa wenzako wewe unakula ruzuku ya kina mdee taratiiibu wenzio wanaliwa na mbu bure utalaaniwa
 
Mmawia anakesha akiliwa na mbu pale Ufipa kulinda ofisi lakini mshahara halipwi mwezi wa 6 huu.

Muoneeni huruma kijana wetu.
🤣🤣🤣 Ha ha ha ha unataka kusema kuwa CHRISTMAS ilimpitia kavu....
IDD ilimpitia kavu....

Kama namuona MMAWIA mmakonde huyo wa NANYAMBA pale ufipani 🤣🤣
 
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Kama serikali inashindwa kulipa mafao ya wafanyakazi wake kwa zaidi ya miaka sita sembuse Chadema?
 
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Wanajitolea
 
Kwa wakati waliopo Chadema ni halali kabisa Kwa mambo hayo kuwepo, inabidi wapige moyo konde, huo NAO ni ushujaa wa kipekee
 
Mleta mada kuna wastaafu wa EAC bado wanadai pesa zao hadi kesho wewe unashangaa CHADEMA kushindwa kulipa mishahara?
Kuna watu wanadai pesa zao baada ya kuchukuliwa mazao yao na serikali kama Korosho,Pamba na Kahawa mbona huwasemei au hujui hizo ni stahiki zao kama ulivyo mshahara??
 
Baada ya Dikteta uchwara kuondoka MATAGA hamna content..

Mmebaki kwenda na upepo na kudandia agenda za utawala mpya ili muwe sehemu ya utawala mpya
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom