Nyumba zao Arusha ni ghali sana
Nyumba zao zipo maeneo yenye kelele (noise pollution)
Nyumba zao ni sharing compound (no privacy) kwa hiyo 'disadvantaged'
'Not cost effective' - Kama nyumba ni million 90 mpaka 180 haifai kwa mfanyakazi au mkulima
Mtu anaweza kununua kiwanja milion kama 45 na kujenga nyumba ya million 50 - Ambayo ni kubwa, ina parking,garden, privaty and away from Noise.
NHC kabla ya kuanza miradi wasome market ya eneo kwanza.
Kwa Arusha NHC wamechemsha kabisa, hawatapata mteja.
Nawashauri NHC Wapangishe hizo nyumba kwa Watanzania, biashara ya kuuza it is too expensive and not preferable.
Arusha kuna nyumba room 3 mpaka 4 nzuri, privacy
Nyumba zao zipo maeneo yenye kelele (noise pollution)
Nyumba zao ni sharing compound (no privacy) kwa hiyo 'disadvantaged'
'Not cost effective' - Kama nyumba ni million 90 mpaka 180 haifai kwa mfanyakazi au mkulima
Mtu anaweza kununua kiwanja milion kama 45 na kujenga nyumba ya million 50 - Ambayo ni kubwa, ina parking,garden, privaty and away from Noise.
NHC kabla ya kuanza miradi wasome market ya eneo kwanza.
Kwa Arusha NHC wamechemsha kabisa, hawatapata mteja.
Nawashauri NHC Wapangishe hizo nyumba kwa Watanzania, biashara ya kuuza it is too expensive and not preferable.
Arusha kuna nyumba room 3 mpaka 4 nzuri, privacy