Katika kile kinachoonekana kutuliza wananchi na upepo mbaya nchini kutokana na kauli yake ya kutishia kufuta CDM, jana waziri wa nchi ofisi ya Rais Stephen Wassira amekana kauli yake na kusema hana nia wala mpango wa kufuta CDM.
Amesema kauli yake aliyotoa alinukuliwa vibaya kwani ililenga vyama vyote na sio CDM pekee. Wassira amesema alichokuwa analenga ni umuhimu wa vyama vyote kufuata sheria lakini ameshtushwa na jinsi alivyoshambuliwa nchi nzima kwa kuhusisha matamshi yake na hujuma dhidi ya CDM.
Source: Mtanzania Jumapili
Amesema kauli yake aliyotoa alinukuliwa vibaya kwani ililenga vyama vyote na sio CDM pekee. Wassira amesema alichokuwa analenga ni umuhimu wa vyama vyote kufuata sheria lakini ameshtushwa na jinsi alivyoshambuliwa nchi nzima kwa kuhusisha matamshi yake na hujuma dhidi ya CDM.
Source: Mtanzania Jumapili