engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
huyu mama anakataa kuwapakiza majeruhi waliopata ajari jijini Dsm tarehe 1 june
ukimwangalia vizuri huyo mama anamwonyesha askari saa kuwa anawahi,lakini nguvu ya umma kutoka tabata imelazimisha kupakia majeruhi wawili na mama kulazimishwa na nguvu ya umma kuendesha gari kuelekea hospitali
kweli nguvu ya umma ni kiboko
by michuzi
ukimwangalia vizuri huyo mama anamwonyesha askari saa kuwa anawahi,lakini nguvu ya umma kutoka tabata imelazimisha kupakia majeruhi wawili na mama kulazimishwa na nguvu ya umma kuendesha gari kuelekea hospitali
kweli nguvu ya umma ni kiboko
by michuzi
Last edited by a moderator: