STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Ndugu Wananchi,
Najisikia vibaya sana kuona chombo cha habari kinancho tumia kodi ya wananchi wa Tanzania kikifanya kazi kwa maslahi ya mafisadi wa CCM. Najisikia vibaya kuona mchakato wa kutafuta Katiba ya wananchi unafanyika huku TBC inafanya mambo ya ajabu badala kurusha moja kwa moja mchakato huo live kutoka dodoma na daresalaam lakini yanatokea mambo mengine kabisa na hii inaashiria kuwa vyombo hivi hufanya kazi ya CCM na mafisadi wa nchi hii.
Sasa kama TBC inaweza kufanya live coverage ya mkutano CCM, kuteua wagombea, kuadhimisha miaka 30 inashindwa nini kurusha moja kwa moja mkutano wa kujadili katiba ya wananchi? Hii ni point nyingine ambayo vijana tunatakiwa kuitumia katika harakati za kuikomboa nchi yetu.
Siamini kama TBC ilishindwa kwa sababu zozote zile nadhani wanashindwa kuelewa waTZ wa mwaka 2010/11 si wale wa miaka ya nyuma, wanasahau kuwa kitndo cha kina RA, EA, Chenge na wengine kuitumia TBC kujisafisha huku ikishindwa kurusha live mambo ya msingi kwa wananchi ni kusogeza moto karibu na pipa la petroli.
Asubuhi nilikuwa naangalia StarTV, katika mazingira ya ajabu wakakatiza na kudai wangerusha baadae kitu ambacho ni uongo kabisa.
Mimi naamini ipo siku tutaikomboa nchi hii, hakuna kitu kibaya kama kuwazuia wananchi uhuru wa kutoa habari, siku za hawa jamaa zinahesabika na wataikimbia nchi.
CCM na viongozi wake pamoja na baadhi ya wanachama ambao wana maslahi binafsi hawataki kabisa chi hii ipige hatua sasa tumesha anza hakuna kurudi nyuma hata kidogo.
Peoples power,
Najisikia vibaya sana kuona chombo cha habari kinancho tumia kodi ya wananchi wa Tanzania kikifanya kazi kwa maslahi ya mafisadi wa CCM. Najisikia vibaya kuona mchakato wa kutafuta Katiba ya wananchi unafanyika huku TBC inafanya mambo ya ajabu badala kurusha moja kwa moja mchakato huo live kutoka dodoma na daresalaam lakini yanatokea mambo mengine kabisa na hii inaashiria kuwa vyombo hivi hufanya kazi ya CCM na mafisadi wa nchi hii.
Sasa kama TBC inaweza kufanya live coverage ya mkutano CCM, kuteua wagombea, kuadhimisha miaka 30 inashindwa nini kurusha moja kwa moja mkutano wa kujadili katiba ya wananchi? Hii ni point nyingine ambayo vijana tunatakiwa kuitumia katika harakati za kuikomboa nchi yetu.
Siamini kama TBC ilishindwa kwa sababu zozote zile nadhani wanashindwa kuelewa waTZ wa mwaka 2010/11 si wale wa miaka ya nyuma, wanasahau kuwa kitndo cha kina RA, EA, Chenge na wengine kuitumia TBC kujisafisha huku ikishindwa kurusha live mambo ya msingi kwa wananchi ni kusogeza moto karibu na pipa la petroli.
Asubuhi nilikuwa naangalia StarTV, katika mazingira ya ajabu wakakatiza na kudai wangerusha baadae kitu ambacho ni uongo kabisa.
Mimi naamini ipo siku tutaikomboa nchi hii, hakuna kitu kibaya kama kuwazuia wananchi uhuru wa kutoa habari, siku za hawa jamaa zinahesabika na wataikimbia nchi.
CCM na viongozi wake pamoja na baadhi ya wanachama ambao wana maslahi binafsi hawataki kabisa chi hii ipige hatua sasa tumesha anza hakuna kurudi nyuma hata kidogo.
Peoples power,