Inasemekana kwamba Nyerere alikubali Mwinyi kuwa Rais ili mambo yake yaendelee kutekelezeka...ndiyo maana maamuzi mengi ya Mwinyi yanazua utata kama ni yeye alikuwa akiamua kama Rais ama Nyerere...kwa headline hii ya mwaka 1990 ya Daily News, je, zilikuwa nguvu za Mwinyi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.