Kwani anasherekea Mara mbili siku ya kuzaliwa1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni
2.Husafiri bila passport nje ya nchi
3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully
4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.
5.Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela
6.Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria
7. Ana uwezo wa kutolipa kodi
8.Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha
9. Ni malkia wa Australia pia
10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.
11.Ni mwenyekiti wa kanisa la Anglikana
12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia
13. Anakinga ya kutoshitakiwa
14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames
15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake
una joke au ni kweli??Lakini ana ruhusu wanawake wote wajawazito UK kujisaidia eneo lolote bila kubuguziwa Iwe polisi au ikulu/mahakamani
Nenda hata google ni kweli kabisa na ushaidi ninao dada yangu alikuwa mjamzito alijisaidia haja ndogo airport na na baada ya kumaliza akapewa na ambulance impeleke H.una joke au ni kweli??
Ww unaoongozwa na wanaume umefaidika na nn nchini kwako acha ujinsia ww sasa hivi utauliza kabila gani kama x dini ganiKwa nin wanaongozwa na Mwanamke?
Kwa umri wake sidhani labda atakaefuatiaHahah kweli kabisa mkuu (16) muhimu
Emphasis on the omnipotentHey,sorry for Interruption,But I've little question here,
How can demons able to prevent you from communicating with your own Omnipotent-God?
Huo no ubwege hayo no mamlaka mbayo hata ww unaweza kujipa kwa kigezo cha kumiliki kundi la wajinga flank alafu kwa mungu hakuna staff hilo ulitambu kwanza sio general ni kwa wapuuzi wengine tu mbali na hapoHalaf tukifa wote eti Mungu atuchome moto sawa na malkia Elizabeth,aiseeee!!!nitashangaaaaa
Umejuaje kwamba ana dhambi?!! Usihukumu ......... Wewe siyo Mungu!!!!Huo no ubwege hayo no mamlaka mbayo hata ww unaweza kujipa kwa kigezo cha kumiliki kundi la wajinga flank alafu kwa mungu hakuna staff hilo ulitambu kwanza sio general ni kwa wapuuzi wengine tu mbali na hapo
Atakufa
Anaugua magonjwa kama wengine
Anaenda chooni kama wengine
Anavuta oxygen hii hii kama unayovuta ww
Ni binadam kama we tofauti rangi
Labda alichokuzidi ana dhambi nyingi sana huyo mama atakua kuni Sikh ya kiama
Nimekuelewa saaaana rafiki.Kwa wasioelewa hizo zinaitwa " PREROGATIVE POWERS'' ambazo hata Tanzania kwa kuwa tilirithi legal system ya huko tunazo kwenye katiba angalau kwa uchache na ndizo hizo watu wasioelewa wanapiga kelele eti ....!!! power za Raisi zipunguzwe. kutakuwa na umuhimu heshima , na woga kwa raisi akiwa hana power za ziada tofauti na raia au viongozi wengine? Raisi ni symbol ya umoja, nguvu na mamlaka kwa watu wake, ni nabiii wa kutoa mwongozo sahihi kwa watu wake na ni alama ya kitisho kwa maadui wa nchi hivyo anatakiwa awe na nguvu za ziada.
Lakini baada ya yote atakufa kama sisi tu1. Haitaji leseni ya gari, huendesha bila leseni
2.Husafiri bila passport nje ya nchi
3.Huwa anasherehekea siku ya kuzaliwa mara mbili, ile ya kweli 21 april na jumamosi ya jully
4. Ana mtunga mashairi wake maalumu.
5.Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela
6.Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sheria
7. Ana uwezo wa kutolipa kodi
8.Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha
9. Ni malkia wa Australia pia
10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.
11.Ni mwenyekiti wa kanisa la Anglikana
12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia
13. Anakinga ya kutoshitakiwa
14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames
15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake
Try to hide your ignorance folk.Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.
33 degrees of Freemason satanism ant Christ unataka nn ten? alafu ujue kuna dhambi za zahiri kuna dhambi za siri so Siku nyingine jiongeze mkuuUmejuaje kwamba ana dhambi?!! Usihukumu ......... Wewe siyo Mungu!!!!
Haha looh,naomba udadavue ilikuwaje mkuuHahahah....very interesting. imebidi nikumbuke hayati Iddi Amin alivyolazimisha lazima Queen aje uganda kumwomba msamaha! Dah, Iddi Amin hakumwogopa mtu yeyote....and that is the characteristics of real men!
Hasa kati yako wewe na uliyemuuliza nani mpumbavu?Sasa wewe na yeye nani mpumbavu? wafia dini bwana
Nafikili na wao ni mashetani dumeKwa nin wanaongozwa na Mwanamke?