Ngushi bye bye Yanga

jino kwa jino

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
783
170
Club ya Yanga imemtoa mshambiliaji wake Kwa mkopo kwenda coast union ya Tanga Hadi mwisho wa msimu

Hii itakuwa ndio kuagana mazima. Ngushi akijirekebisha makosa yake madogo madogo Bado ni mchezeji mzuri akipewa nafasi cost uniuon namuona akirudi kariakoo
 
Simba na Yanga hazijawahi kutoa mchezaji kwa mkopo. Huyo AMEFUKUZWA KIJANJA
Mh! Mkuu uwe na uhakika ndo ukomenti humu. Duchu amekuwa mchezaji wa Simba kote alikokwenda Hadi juzi aliporejeshwa. Kusema hazijawahi kutoa mchezaji Kwa Mkopo siyo sahihi.
 
Makolo mna mambo, haya ni bye bye na sio by by.
😀😀😀
Screenshot_20240113_194800_Edge.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom