Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Kuna wengine wanataka min kabang
yaani tigo...!
Kuna wengine wanataka min kabang
mhhh! ha kama hivo basi
Kwa mujibu wa dira ya dunia-bbc, watalii wengi (wanawake) wamekuwa wakifika hapa nchini kwa ajili ya kuwanasa vijana wa kiume ili wafanye nao ngono. Tofauti na ilivyozoeleka kwa watalii hao kufika hapa nchini ili kutembelea vivutio kama mlima kilimanjaro na mbuga za wanyama sasa idadi kubwa ya wanawake kutoka ulaya hufika kwa ajili ya utalii wa ngono.
Wapo wp hao mbona mm sijawahi waona?
Mmhh!! Nahisi hilo limesemwa kwa lililotokea Zenji.
itabidi niwe ki culture zaidiNa usuke rasta. Nilishakutana na wengi VIAVIA nimetinga suti yangu they keep asks me ridicuousily ' ar u a pastor?' when i answer back 'no, enterprenuer' wanaona mhh huyu sio, wanasepa!
Mie niliwahi kumbahatisha msweden mmoja nilimpiga bao tatu mpaka leo ananitafuta!Hahahahahaha!!! unataka uwe kivutio..............
Kwa mujibu wa dira ya dunia-bbc, watalii wengi (wanawake) wamekuwa wakifika hapa nchini kwa ajili ya kuwanasa vijana wa kiume ili wafanye nao ngono.
Tofauti na ilivyozoeleka kwa watalii hao kufika hapa nchini ili kutembelea vivutio kama mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama sasa idadi kubwa ya wanawake kutoka ulaya hufika kwa ajili ya utalii wa ngono.
Mie niliwahi kumbahatisha msweden mmoja nilimpiga bao tatu mpaka leo ananitafuta!
dah! sijui na mimi nitapata zali...?
duh...ila wazungu hawavutii ngoja nkomae na waswazi wenzanguMkuu vaa wigi la rasta halafu anza kuvuta bangi baaaassss haichukui hata mwezi utapata kibibi cha kizungu! Mi nnavyo vinne sasa vinanipapania kama cross ya David Beckham