kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,944
Kwa hili la kutopata umeme kwa muda wa miezi 4 nonstop,UMEGUSA PABAYA hivi ni kutudharau walipa kodi au bado mnachukulia kwamba watanzania wote ni wajinga?hivi mnazijua SHIDA tunazopata watu wa hali ya chini? Au mmeamua kuturudisha kwenye zama za MAWE? % 90 tunategemea umeme kwa kuendeshea shughuli zetu,JE HII MIEZI 4 TUHAMIE KWAKO ?msifikiri kwa kuwa mko juu hatuwezi kuwafanya chochote,cha kuwafanya tunacho nyie wanyonyaji wakubwa,sasa msilete huo umeme komaeni na %10 mlioizoea,wakati huo na sisi TUNACHEMSHA MAJI YA KUNYONYOLEA soon kazi itaanza, NI BORA MUONDOKE WENYEWE maana kimya chetu cha muda mrefu KISHINDO chake kitakuwa kikubwa mno. ZIBENI UFA MSIJE KUJENGA UKUTA, nimemaliza.