nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
umetoka outing kwenda beach na mupenzi wako siku ya valentine,ukaamua kwenda kuogelea na chupi tu,sasa wakati umemaliza kuoga upo katika mchanga wa baharini akatokea nge mwenye sumu ambayo akikung'ata tu ni sekunde 30 kama hujamtoa unakufa ,yule mdudu akakung'ata ,ukawa unainama ili umtoe haraka haraka ,ile kuinama tu kuna kichaa akaja akakudandia na kuanza kukuingilia kinyume na maumbile,utafanya nini?utaendelea kumtoa nge au uta-deal na huyo kichaa anayeji-sevia.