badshah
Member
- Mar 16, 2013
- 51
- 32
Samaki mkunje ............ mpaka anye!!
Siku za mwizi .............. inategemea kama ni mwanaume hana siku.
polepole ndiyo ............ slow motion
asiyesikia la mkuu .......... ana phone masikioni
aliye juu ................ mlenge na manati atashuka
mtaka cha uvunguni ................ toa godoro utakiona
Samaki mmoja akioza ............... mkaushe na tangawizi umbanike.
kama unazo jazia jazia hapa
Siku za mwizi .............. inategemea kama ni mwanaume hana siku.
polepole ndiyo ............ slow motion
asiyesikia la mkuu .......... ana phone masikioni
aliye juu ................ mlenge na manati atashuka
mtaka cha uvunguni ................ toa godoro utakiona
Samaki mmoja akioza ............... mkaushe na tangawizi umbanike.
kama unazo jazia jazia hapa