Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Huyu dada anatisha sana na anameremeta...Hebu ona vitu vyake...
Yaani amechapa wastani wa mitundiko 47 kwa siku. Hii ina maana baada ya mwaka mmoja atakuwa anafukuzana na wazeee wazima wa JF kwa kuchapa posts kama 17000!!!
Namfagilia sana huyu mjukuu wangu....Bravo AD!!!
afrodenzi
JF Senior Expert Member
Join Date:Mon Nov 2010
Location:sweet home
Posts:2,096
Thanks:250
Thanked 232 Times in 216 Post
Yaani amechapa wastani wa mitundiko 47 kwa siku. Hii ina maana baada ya mwaka mmoja atakuwa anafukuzana na wazeee wazima wa JF kwa kuchapa posts kama 17000!!!
Namfagilia sana huyu mjukuu wangu....Bravo AD!!!