Wadau zile nafasi walizo tangaza precision air kama: cabin crew na deadline ilikuwa tarehe 30 APRIL 2012,vp wameshaita watu kwa ajili ya interview? Msaada tafadhali
keep on waiting ni lazima washort list hzo ndio procedure za kulicruit wafanyakazi,bdo hawjaitwa kwenye interview hata mi niliomba kwa hyo nifuatilia kwa ujirani zaidi:majani7::majani7:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.