Ngekewa mbona unataka kuleta kesi hapa? wakugawie tena?? mi simo lol!
Tunaanza ukurasa mpya wa Muungano!
Ngekewa mbona unataka kuleta kesi hapa? wakugawie tena?? mi simo lol!
Basi tushirikiane kuilinda rasilimali hizi ili ziwe na manufaa kwa watanzania wote.Asante Nyerere kwa kututunzia rasilimali hizo. Ungeamua kuwa FISADI ungeweza kujinufaisha pekee yako. Ninawalaumu viongozi wetu wa sasa kwa kufanya rasilimali za watanzania ni mali ya wageni na wala nchi. Kugundulika kwa dhahabu hii hakuna faida kwa watanzania. Je Watanzania wanafaidika nini na machimbo ya dhahabu yanayochimbwa sasa?.
Ni mapema mno kuongelea suala la mkataba. kwa soil results ni vigumu kujua kama watapata kiasi cha kutosha kufungua mgodi au la. waki-drill na kufanya resource estimation ndipo tutajua kuna mali ama la.