Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Kwa kauli zake....lol
Namwacha kwa kuwa ni kaka yangu mkubwa....alighafirika tu.
It's WAR now..!! beware... there's no turning back. !
Kwa kauli zake....lol
Namwacha kwa kuwa ni kaka yangu mkubwa....alighafirika tu.
It's WAR now..!! beware... there's no turning back. !
Kauli zako zinanikera ujue...!
Je pingamizi inaruhusiwa???
mi naomba niwafunde maharusi
jamani ndoa si lelemama mkavumuliane kwenye shida na raha.sio leo tunapiga vigelegele hapa kesho muanze vikao vya kusuluhisha aaaaah
kubwa mtuletee tutasuluhisha lakini dogo mlimalize wenyewe.
huyu miss wa kinyaru atakubali kuwa na wewe lakini chonde chonde nakuomba usije kumuacha njia panda. mimi na huyu binti ni damudamu so isihofu utampata. muhimu ni nyie wenyewe kuoganise mipango ya harusi. miaheri uwe mshenga maana natamani nioe ila vibinti vinanikwepa
utata mwinginehuyu miss wa kinyaru atakubali kuwa na wewe lakini chonde chonde nakuomba usije kumuacha njia panda. mimi na huyu binti ni damudamu so isihofu utampata. muhimu ni nyie wenyewe kuoganise mipango ya harusi. mia
utata mwingine
Subiri nimkuwadie The secretary ! Ili uniongelee vizuri! Kuddadadeck!
Utakuja kunitaka razi .
Chezeiya Bagamoyo moja! Ntakutengua shingo aisey.
Haachwi mtu hapa
...weee hapana taka hiyoAfu wewe ndo umesajesti mimi nipigane ngumi na Erickb52 ??? Hivi unanitakia nini kwa wana Arusha wing???? Unataka wanichukiee???? Nafuu ungeniletea wale wapambe wake wawili wanaojifanya vichwa ngumu zubedayo_mchuzi na Vin Diesel ndo niwaonyeshee advataizi, unataka Chocs awe mjane ghafla???
mi naomba niwafunde maharusi
jamani ndoa si lelemama mkavumuliane kwenye shida na raha.sio leo tunapiga vigelegele hapa kesho muanze vikao vya kusuluhisha aaaaah
kubwa mtuletee tutasuluhisha lakini dogo mlimalize wenyewe.
Its not fictious...! Or a world of imaginations..!mi naomba kuuliza mkiwa declared as a couple humu mnaruhusiwa kujamiiana? au its more of a hypothetical couple? teh teh!
mi naomba kuuliza mkiwa declared as a couple humu mnaruhusiwa kujamiiana? au its more of a hypothetical couple? teh teh!