MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Yoshua 1:5
"Hapata kuwa na mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako;Kama nilivyokuwa pamoja na Musa ndivyo nitakavyokuwa na wewe; Sitakupungukia wala sita kuacha"
Bila kujali hali zetu za sasa. Kuna faida kubwa kuingia mkataba na Mungu ktk maisha.
Ameahidi hatakupungukia wala kukuacha.
Kikubwa zaidi, Hakuna MTU atakayeweza KUBLOCK maisha yako siku zote za uhai wako.
neno la Mungu ni tamu.
ni alfa na omega ya maarifa kuhusu mwanadamu.
mbarikiwe wapendwa wa JF.
"Hapata kuwa na mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako;Kama nilivyokuwa pamoja na Musa ndivyo nitakavyokuwa na wewe; Sitakupungukia wala sita kuacha"
Bila kujali hali zetu za sasa. Kuna faida kubwa kuingia mkataba na Mungu ktk maisha.
Ameahidi hatakupungukia wala kukuacha.
Kikubwa zaidi, Hakuna MTU atakayeweza KUBLOCK maisha yako siku zote za uhai wako.
neno la Mungu ni tamu.
ni alfa na omega ya maarifa kuhusu mwanadamu.
mbarikiwe wapendwa wa JF.