GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,745
- 109,190
Ukipita muda wowote eneo hilo ni lazima tu utakutana na Pedi zilizotumika zikiwa zimetapakaa kila sehemu, Pampers za Watoto (zinazotumiwa Kisirisiri pia na Wakubwa), Vinyesi vya Uhakika na Vilivyotuka na kuona Watu (hasa Wamama) wakiwa Wanaoga bila ya Kuchukua tahadhari ya Kujificha ili Mabingwa wa chabo Tanzania wasiwakodolee na Kudindisha kwa Kulazimishwa.
NEMC tafadhali hali ya Kimazingira hasa katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe ni mbaya na HATARI kwa Wapita Njia, Wakazi na Wafanyabiashara waliopo.
NEMC tafadhali hali ya Kimazingira hasa katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe ni mbaya na HATARI kwa Wapita Njia, Wakazi na Wafanyabiashara waliopo.