Duh hii safi sana. Nitaipita hiyo kuelekea mvuti shambani kwangu.
Duh hii safi sana. Nitaipita hiyo kuelekea mvuti shambani kwangu.
Mnafurahia kazi nzuri ya uongozi wa serikali chini ya Magufuli Na CCM.
Wamshukuru Magufuli Makonda Na CCMHALELUYA! We long waited for this to happen...
Shida sana, kachimba chimba kaacha magari yanakwama.Mkuu Nguzo
Kwasasa Haifai Yaani Mkandarasi Hayupo Site Njia Imechimbika Sana Kwa Mvua
Yaani Ukifika Kitunda Kuna Ile Semi Iliyobeba Ile Catapillar Ipo JuuShida sana, kachimba chimba kaacha magari yanakwama.
Viongozi pia hawasomeki, mwaka huu shida ya usafiri inaanza mapema.Yaani Ukifika Kitunda Kuna Ile Semi Iliyobeba Ile Catapillar Ipo Juu
Njia Kaichimba Sana Halafu Inasemekana Hana Vitendea Kazi Yule Anaharibu Gari
Hii Mvua Ukitaka Kupata Lazima Uende Mombasa Nako Ukifika Pale Kwa Mkolemba Kwenda Mbele Kumechimbika SanaViongozi pia hawasomeki, mwaka huu shida ya usafiri inaanza mapema.
Kwenu raha, changamoto zimepungua sana.Poleni. Watu wa Moshi bar/Kipunguni B tumeondokana na adha hiyo kwa sasa
BarabaraYa Mombasa Ina Bajaji Hadi Zinafanya Kuonekane Kuna Foleni Yaani Ukitaka Kuingia Highway Foleni Inakuwa Zaidi Ya Uefa PubIle kuna Bajaji kama siafu....
Safi sana, tatizo kuna watu wanajiona wanafaham kila kitu,hao wanaitwa hari Singh and sons, wapo mikocheni wanadeal na road construction hawana uhusiano na Singh wa IPTL, usiwe mjinga! kila neno Singh we unawaza wa IPTL
Kutoka Mombasa mpaka Moshi Bar ni about 4kms Tarmac road. Wanapakia abiria wanne mara nyingi kwa 500 kama nauli per head. Kwa huo umbali mfupi nadhani ndio maana Bajaj zimejaaBarabaraYa Mombasa Ina Bajaji Hadi Zinafanya Kuonekane Kuna Foleni Yaani Ukitaka Kuingia Highway Foleni Inakuwa Zaidi Ya Uefa Pub