NEC imepiga marufuku Mawakala wa Vyama kuwa na simu vituoni

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,179
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mawakala hawatakiwi kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura kwa sababu itasaidia kuepusha mawakala kutoa taarifa ambazo si sahihi.

Je hii ni sawa? Au ni mwendelezo wa kuwa na hawa mawakala? Mnaoweza kutafsiri hii kauli tusaidieni.

Chanzo: East Africa Radio
 
eti wakenya si wapo humu? vp huko kwenu mawakala wanaingia na simu au kungu1
 
Last edited by a moderator:
naona j3 maduka yote yatafungwa kwa style hiii....barabara zitakuwa blocked.....petrol station zitakuwa closed....
ngoja nijifanyie shoping mapemaaaaa

kwa nn wasiache kila kitu kiwe transparent...aaaggr
 
Hivi nyinyi mnaotukanana humu hamna kazi nyingine za kufanya na hao wagombea wenu wanawajua au mnatoana mapovu na kuvunja amani ya kutokuheshimiana bure. Mnaniudhi kweli kiweni wastaarabu ni vizuri tukaheshimu maagizo ya viongozi, najua hata hapa kuna limtu litakuja kutukana.
 
Back
Top Bottom