Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,540
Nimesikitishwa sana na kitendo cha kijana Hassan kumchoma kisu mwenzake kisa kamuomba maji ya Kunywa.
Ndugu zetu mlioko katika mifungo, mbona mna makasiriko sana kipindi hiki cha mwezi wa toba?
Nashangaa sana kuona mtu akasirika kisa mwenzie anakula.. mnahukumu vipi wakati nyie si Waumbaji?
by the way, ambao mnajua hamjafunga, mchukue tahadhari sana maana wameanza kutuua kwa sababu zisizo na msingi
Ni hayo tu
Ndugu zetu mlioko katika mifungo, mbona mna makasiriko sana kipindi hiki cha mwezi wa toba?
Nashangaa sana kuona mtu akasirika kisa mwenzie anakula.. mnahukumu vipi wakati nyie si Waumbaji?
by the way, ambao mnajua hamjafunga, mchukue tahadhari sana maana wameanza kutuua kwa sababu zisizo na msingi
Ni hayo tu