Wanajamii,ni nini chanzo hasa cha mtu kuota yupo na Marehemu wa karibu naye mfano baba,mama mjomba na wengine ambao walimtoka kama miaka zaidi ya kumi iliyopita.
Na katika ndoto hizo mtu anakua anaisi kama anafanya nao kazi kana kwamba wako hai.Hii inatokana na kitu gani? na ni jinsi gani unaweza kujizuia isikutokee kwani inauma kwa kiasi fulani hasa pale ukizinduka na kuona ilikua ndoto hawa watu hauko nao tena.
Mchango wenu ni muhimu.
Na katika ndoto hizo mtu anakua anaisi kama anafanya nao kazi kana kwamba wako hai.Hii inatokana na kitu gani? na ni jinsi gani unaweza kujizuia isikutokee kwani inauma kwa kiasi fulani hasa pale ukizinduka na kuona ilikua ndoto hawa watu hauko nao tena.
Mchango wenu ni muhimu.