Ndoto ya shetani kwa walokole ni ndoto ya CCM kwa CHADEMA, hii yenu kwangu ni zaidi...

Nyakarungu

JF-Expert Member
May 1, 2011
472
375
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.

 
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.



Ushindi wa adui hutegemea weakness yako! Tusiwape sababu na tusiwe sababu kufanikisha malengo binafsi bali taifa kupitia chama ulichoamua kukitumia kufanikisha ukombozi wa Taifa.Kudos ndugu!
 
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.


Dont make noise_make newz plz.
 
kwanza umechemka sana

1.dunia siyo ya duara ni ya mviringo
2. hakuna walokole dunia hii ila wapo waliokata shauri tu
3.kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika
4. hujatajajina lako halisi na kutuambia ni hoja gani uliambiwa uje ujibu humu jf
5.kiingereza chako ni cha mtaani zaidi
 
kwanza umechemka sana

1.dunia siyo ya duara ni ya mviringo
2. Hakuna walokole dunia hii ila wapo waliokata shauri tu
3.kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika
4. Hujatajajina lako halisi na kutuambia ni hoja gani uliambiwa uje ujibu humu jf
5.kiingereza chako ni cha mtaani zaidi

goooooood_halafu hao anawaita walokole wanafuatiliwa na shetani kwa sababu ni wanafiki...hawana lolote zaidi ya majisifu na majigambo ya kujifanya yesu na mungu ni wa kwao....anyway ngoja niwahi lunch ntarudi.
 
goooooood_halafu hao anawaita walokole wanafuatiliwa na shetani kwa sababu ni wanafiki...hawana lolote zaidi ya majisifu na majigambo ya kujifanya yesu na mungu ni wa kwao....anyway ngoja niwahi lunch ntarudi.
Mungu ni wetu wote Imani ni ya mtu binafsi.Hivyo usiwakejeli walokole.
 
Nimerudia mara kadhaa nione hiyo ndoto ya shetani kwa mlokole na ndoto ya ccm kwa CDM sijaona, inawezekana ulikuwa una post kwenye majamvi tofauti, unaweza kuja kivingine?
 
Mungu ni wetu wote Imani ni ya mtu binafsi.Hivyo usiwakejeli walokole.

Mkuu findu fiki_kitu gani so to speak,....if you read between lines you will get what i mean.....sina maana mbaya na walokole kwani nimezaliwa na kukulia kwenye ulokole,.....mmenye gu_mbilike mkulumba.
 
Kwani Nyakurungu ndio nani? Unataka kuhama chama gani? Mie naona nasoma makelele tu hata sijamuelewa mleta uzi.
 
NANI AMEKUAMBIA UJE UJIBU HOJA HUMU!??
KWENI WEWE NI NANI!??
NJOO BASI NA KA ID KAKO KA KWELI Nyakarungu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu findu fiki_kitu gani so to speak,....if you read between lines you will get what i mean.....sina maana mbaya na walokole kwani nimezaliwa na kukulia kwenye ulokole,.....mmenye gu_mbilike mkulumba.

usiongee usilolijua mungu akusamehe mkuu
 
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.


nimesoma mara tatu nashindwa kuelewa,ulikuwa unataka kusema nini tukusaidie?
 
nimesoma mara tatu nashindwa kuelewa,ulikuwa unataka kusema nini tukusaidie?

mkuu unaweza ukanisaidia seriously huyu Nyakarungu ni nani..?! sio jina maarufu hapa JF as he claimed amepotea na kuomba radhi or kulisikia katika medani ya siasa.. au ni mpya.. katika medani ya siasa?!
 
Mwenye thread ww ni nani? Unaposition gan ktk siasa za Tz na hasa CHADEMA? Ila usjie ukawa ni katibu wa tawi la CHADEMA kijijini alafu uje utupigie kelele hapa utadhan eti ni mbunge wa CDM au public figure wa chama.
 
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...

HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?

Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.

Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....

Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.


mkuu Nyakarungu wewe ni nani.. wengine hatukufahamu ..?
 
Back
Top Bottom