Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Waungwana, nisameheni bure kwa kupotea kwangu hapa ukurasani,, leo naja kwenu nikiwa na jibu fupi tu kwa wenye kudhani kuwa dunia ni duara kama chungwa la Tanga, no dunia ni umbo la tufe ndio maana hatuko sawa, kifkira na hata kimonekano wa nje...
HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?
Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.
Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....
Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.
HOJA YANGU...Jana nimepigiwa simu na Kashinje Masanja akinijulisha kuwa ninatajwa na kushambuliwa katika mtandao wa jamiiForums kuwa mimi ni miongoni mwa waanzilishi wa chama kipya kiitwacho CHAUMA, akanitaka niingie ndani ya mtandao nijibu hoja hiyo, lakini nikajiuliza je ni sahihi kumuiga bata kwenda haja kubwa hadharani?
Nikapata jibu hapana, pia they have to know am not a sophist so we cnt meet in oral battling, let them live with their argumentam domain till they see aparent superiorty power upon me, as long as am not an opportunistical politician so i cant battle wth spycherses, wanadhani kujulikana kwao ni mpaka wamchokoze anawazidi viwango vya fikra bila wao kusimama kwenye mawazo yao na kujua kwanini wako kama walivyo, nani awezae kuishi nje ya fikra zake kama socrate alivyosema.
Tena watu hawa wanalala wakiota nife au nihame chama ili watimize ndoto zao za hila katika chama changu na taifa, watu hawa wana ndoto mbaya na haramu kama ndoto ambazo shetani anawaotea waliokoka, ni ndoto mbaya zaidi ya ndoto ambazo ccm wanawaotea chadema....
Nyakarungu, Washa Taa Mchana 2011.