Bado nasisitiza; tunahitaji John Githongo wetu kwenye nafasi hii. Awe ni wa kuteuliwa au kwa nafasi hii kutangazwa watu wakaomba. Jenerali Ulimwengu au Jaji Waryoba kwa mapenzi waliyonayo kwa Nchi yetu naamini ndio wanaostahili kwa sasa. Namwomba Rais wetu awafikirie na kuwaomba hawa jamaa wamsaidie kama kweli yuko serious na vita dhidi ya rushwa na ufisadi