Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 100
Hivi ni sababu gani hasa inayowasababishia watu mpaka kufikia hatua ya kufungishiana ndoa ya mkeka?
Hivi ni sababu gani hasa inayowasababishia watu mpaka kufikia hatua ya kufungishiana ndoa ya mkeka?
ile si ndoa bwana ukizingatia maana nzima ya ndoa,ule ni uhuni tu wa watu wachache na ndo maana huwa hazidumu
labda wazoefu wa ndoa za mikeka ...harakisha karibu nahama vitukambona mimi na wewe tumedumu ?
labda wazoefu wa ndoa za mikeka ...harakisha karibu nahama vituka
matembele...tangu lini kidumu kikatoa rukhsaunahamia wapi tena?
bila ruhusa yangu?
Hivi ni sababu gani hasa inayowasababishia watu mpaka kufikia hatua ya kufungishiana ndoa ya mkeka?
matembele...tangu lini kidumu kikatoa rukhsa
kumbe weye mgeni wa mji eeee...ukonga unaingia ndanindani hukohe he hee
matembele ndo wapi huko?
kumbe weye mgeni wa mji eeee...ukonga unaingia ndanindani huko
kumbe weye mgeni wa mji eeee...ukonga unaingia ndanindani huko
tena huko ndo nnakokutaka huko,nifanyien utaratibu mkuu nije nile raha dunianiKaribu UK. mi ntakua mwenyeji wako ukipenda ndoo kabisa.....
tena huko ndo nnakokutaka huko,nifanyien utaratibu mkuu nije nile raha duniani
mhh nakweli bora umenigutua,maana haya maukaribisho mengine haya yana walakinshauri lako, mara una karibishwa anaingia shehe na wapambe... Tayari ndoa, huenda huyo jamaa kina dada wa uk washamgomea, so jipeleke tu.
mh! Dar nyie, we acha tu:matembele,mchicha,kabich, spinach eti majina ya mitaa hiyo!matembele...
hahahaha mradi visamh! Dar nyie, we acha tu:matembele,mchicha,kabich, spinach eti majina ya mitaa hiyo!