Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Nimepata kusoma kitabu kimoja kinachoitwa Foolishness of African slaves nimeona niwadokeze kidogo maudhui ya hicho kitabu.
Kulikuwa na watumwa 100 wa kiafrika wanalima kwenye mashamba ya wazungu huku wakilindwa na Askari m1 wa kizungu aliyekuwa na bunduki moja aina ya Shoot gun machine.
Kati ya watumwa 100 walijitokeza watumwa 2 walimpiga yule Askari wa kizungu walimpokonya ile bunduki na kukimbia nayo wale 98 waliobakia waliamua kuwakimbiza wale watumwa 2 na kuwakamata wakawarudisha kwa yule mzungu.
Kulikuwa na watumwa 100 wa kiafrika wanalima kwenye mashamba ya wazungu huku wakilindwa na Askari m1 wa kizungu aliyekuwa na bunduki moja aina ya Shoot gun machine.
Kati ya watumwa 100 walijitokeza watumwa 2 walimpiga yule Askari wa kizungu walimpokonya ile bunduki na kukimbia nayo wale 98 waliobakia waliamua kuwakimbiza wale watumwa 2 na kuwakamata wakawarudisha kwa yule mzungu.