Ndoa: Nimevipata vyote isipokuwa hiki tu

Wakati mwingine kujieleza mwenyewe upande mmoja bila upande mwingine kuwepo huwa kama kuna mambo yanafichwa na upande unaojeleza. Nimejitahidi sana niandike bila hasira yoyote.Nilipokuwa mtoto mdogo nilikuwa mtu mwenye hisia kali sana zàkutengeneza picha ya familia yangu kuanzia mke mpaka watoto.

Kikubwa kilichokuwa kikijirudia ni picha ya familia yenye furaha sana. Hali hii ilijengea moyo wa upole na upendo sana ambao nimekua nao mpaka sasa.Mwaka 2013 nilifanikiwa kuoa mwanamke wa kinyakyusa aliekulia Dar, mmi nikiwa Mnyamwezi wa Ziba, Nzega Tabora. Wakati namuoa mke wangu alikuwa na mtoto mmoja.

Kwa maelezo yake ni mtoto aliezaa alipokuwa ameolewa huko Dar, ila ndoa ilivunjika baada ya mume kuoà ke mwingne na kumnyanyasa sana mke wangu huyu.Tulifahamiana Dar katia mishemishe ya maisha akiwa mwajiriwa wa shirika fulani. Kwakweli kwa uzuri wa binti huyu na vileàlivyoonekana mpole sikujishauri sana kuingia naye kwenye mahusiano hatimaye tukafunga ndoa.

Maisha yakaendelea na hali ilianza kubadilika àlionekàna kama mtu mwenyejupe na jeusi. Namaanisha anaweza kuamka amenuna bila sababu. Lakini pamoja na haya yote upendo wake kwangu ulionekana waziwazi mpaka kwa wazazi wake. Mwazoni mwa mwaka 2014 aliifungua mtoto wakike.

Tuliendelea na maisha ya ndoakwa hali hiyo hiyo.Ulifika wakati nikajaribu kuzungumza naye juu ya hali hiyo nakutaka kujua kulikoni anakuwa hivyo alisema kwa mateso alopata kwa mume wa kwanza yalimfanya kuwà na moyo katili. Nilimuanzishia huduma ya maombezi na kumpeleka kwa wachungaji walimwombea na hatimaye mapepo yalitoka. Kwa kiasi fulani alibadilika na kuwa mtu mzuri.

Pamoja na hali hiyo ya mabadiliko hali ya kununa iliendelea kuwepo na mbaya zaidi ukiuliza tatizo ninini anakuàmbia kawaida tu. Au mimi nina makosa? Anakuambia hamna.Wadau, nimejitahidi sana kumsaidia kwa kila jambo abadilke lakini hakuna mafanikio mpaka mudà naandika amekuwa na tabia za ajabu sana.

1. Hawezi kutii sauti ya mume kwa jambo lolote jema au baya. Unaweza kutoka naye out ukajidai kumçare wala hawezikusuuport hata. Unawezakmshauri asifanye jambo fulani vile linahatarish maisha yake wala hatakuelewa.

2. Kununa ni jambola kawaida kwake, hata siku3 amenuna tu bila sababu.

3. Hana muda wa kuchochea amani na upendo wenye ndoa, muda wote ni kutafuta namna ya kuingusha ndoa tu.

Kwakweli najisikia vibaya sana katika maisha yangu. Nilitamani sana kutimiza zile hisia za familiayangu yenye furaha na amani lakini imekuwa kinyume.Najisikia sina nafasi yoyote kwenye fàmilia kwa vile hawezi kunisikiliza na kukubaliana hoja zangu. Yàani kila jema unàlomfanyia yeye àtatakaufanya kinyume tu ilimradi mkorofishane.

Umefika wakati sasa hata hamu ya tendo landoa imekwisha kabisa, siwezi kusisimka kufanya naye chochote japo ni mzuri sana tu. Mfano mpaka sasa nina miezi 9 tangu nishiriki naye. Mimi ni mtumishi mkubwa tu kanisani kwetu nameshimu sana Mungu. Kwa muda wote huu sifanyi ngono, unafikawakati mwili unawaka tamaa mno lakini Mungu hunijalia uimara tena.

Nimemuombea sana huyu mwanamke lakinihakuna matund yoyote sasa. Nahisi hii hali ya kukosa hamu ya kushiriki nayehuenda ikaniathiri zaidkwani hata kwa wanawake wengi saasa naiona hàli hii.Wadau nimevumilia sana, nimepata vyote vizuri kwenye ndoa yangu lakinihiki kimoja amani na furaha nimevikosa. Naona bora nisingevipata vyote hivi ila nikakipata hicho kimoja.

Bora ningeoa maskni ambaye ningefurahinaye. Siwezi kutoka nje ya ndoa wala kuwa namçhepuko kwa vile imani yangu kwa Mungu ni imara. Lakini pia nahisi nawachukia sana wanawake sasa.Naona kama wote wànaweza kunifanyia hivihivi.Inaniuma sana bora Mungu aitwae roho yangu nikapumzike.

Maana mateso haya nimakali mno. Naandika nikiwa nabubujikwa na machozi mengi sana, je Mungu alinijalia upole na upendo ili niteseke namna hii? Naumia sana. Sijajua msaada mzuri zaidini upi, nimeamua kueleza jaambo langu hili la sirini kwenu huenda akapatikana hata mmoja akanipa ushauri.Mara nyingi nimekuwanikipost humu mambo ya utani lakiini leo nakuja kwenuna uchungu sana neno lako kwangu ni faraja tosha maishani mwangu.

Asante kwa ushauri wako
Pole sana mkuu Huyo ana spiritual husband
Muulize kama akilala huota kalala na mwanamme na si wewe. Zaidi omba sana hilo pepo ni baya kazi yake ni kuvuruga ndoa na usimame imara laweza kukutoa roho yako ndugu
 
hiyo ni nafasi yako Mungu amekupa upambane kumshinda shetani ii akupandishe kwenye viwango vingine, kwasababu kama utashindwa kuishinda vita ya mashetani yanayoshambulia ndoa yako tu, je, Mungu atakupatia kampuni kubwa au hata utawala? si hata wachawi tu watakushinda? vita vinatufanya tunolewe na kumtafuta Mungu zaidi hadi tumwone.

Asante
Umenifurahisha Sana.
 
Pole sana mkuu Huyo ana spiritual husband
Muulize kama akilala huota kalala na mwanamme na si wewe. Zaidi omba sana hilo pepo ni baya kazi yake ni kuvuruga ndoa na usimame imara laweza kukutoa roho yako ndugu

Exatily
Huyo ni spiritual husband, ndo maana ndoa yake ya 1ilivunjika
 
lazimieshe kufanya tendo la ndoa, alafu majadiliano yako mengi naye yafanye wakati mnafanya tendo yaani umemzamishia na kukata kiuno kama mra sita hivi ndio ustop huku umemzamishia ujadiline naye mambo mengine ya kifamilia
 
Nakuona mtumishi umekata tamaa kama elia chini ya mletemu,simama ule safari bado ni ndefu Bwana at atakutia nguvu,usilie OMBA.
 
Wanasema ukiona unafanya jambo lile lile na unapata matokeo yale yale
basi jaribu kufanya kinyume chake

Kuna aina ya watu 'ukiwadekeza tu umewaharibu'
watazidi kukuletea utoto hadi ushangae

dawa yake ni wewe ku sit back and do nothing..

akinuna usimuulize kitu...shika remote control and ignore her...

Hii nimeipenda sana 👍...
 
Tuko wengi kama wewe cha msingi angalia watoto,kile kitu ukipendacho komaa nayo na wala isiigize maisha mambo ya kucare sana mimi yananiboa sana hivyo sihitaji mtu aoneshe ananijali sana
 
Naona maoni mengi yamekaa kilokole lokole anyway ushauri wangu ni kuwa huyo mwanamke anakupuuza kutokana na upole na unyenyekevu wako kwake na anajua huwezi kumuacha hivo pole kwa hilo anza kumbadilikia mean uwe mkatili usi care sana na kwa vile ni wako ata kipigo kihusike ili kurudisha heshima ndani ya nyumba ....another issue tatizo lenu walokole mambo yote mnaendesha kilokole mpaka sex issue pia then huwa mnakosea aina ya ladies wa kuoa ...pole mkuuu
 
Naona maoni mengi yamekaa kilokole lokole anyway ushauri wangu ni kuwa huyo mwanamke anakupuuza kutokana na upole na unyenyekevu wako kwake na anajua huwezi kumuacha hivo pole kwa hilo anza kumbadilikia mean uwe mkatili usi care sana na kwa vile ni wako ata kipigo kihusike ili kurudisha heshima ndani ya nyumba ....another issue tatizo lenu walokole mambo yote mnaendesha kilokole mpaka sex issue pia then huwa mnakosea aina ya ladies wa kuoa ...pole mkuuu
ushauri hatariii na wa ukweli
 
Kaka mpaka mtu anamuacha mtu/mke ujue kuna kitu kaona, sasa wewe umeingia kichwa kichwa hacha upokee za uso.
 
Back
Top Bottom