🤣🤣🤣🤣 Kuna kitu hakipo sawa kwahuyo mwanaume!!Mwenyewe nawaza hapa, kwamba dyudyu haigusi wala kuichungulia? Basi akae chiu amanue ajue moja
Kwani hujawai kukaa bila mavaz mbele yake uka muona kama machine inasimama?Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Dada nakupa pole sana, tatizo lenu wadada mnakuwa hamjielewi kabisa nyie unakuta umekutana na mdada umempenda uko serious anakwambia mm penzi mpaka unioe ona sasa interview ni muhimu sanaHabarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Kuna matatuHabarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Kuna nguvu za giza nyuma ya hili tatizo lako. 100% nina uhakika ni hili. Mimi ni mhanga kama wewe.I dated him for 4 years before marriage , and we used to have sex normally with no doubt tatizo lilianza after posa,
I wish unikutanishe na huyo mmeo kuna kitu naweza kumsaidia.Nilishaondoka akanywa sumu akawahishwa hospitali na tukawekwa kikao akajib atakuwa sawa, unajua sometimes inakufanya ujiskie vibaya kila siku kuwapigia kelele ndugu juu ya tatizo la ndoa yako na mtu wao mwisho wa siku wanaamua kukausha,. Nshafanya effort nyingi sana juu ya hili tatizo
Hivi hz mada za humu jf ni movie au jamani miaka miwili kweli bila kufanya au ana UKIMWI anaogopa kukuambia dah eti ukimgusia hilo suala anakimbiamola nistiri mja wakoHabarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Ingekua busara uMshauri hapa kwa manufaa ya wengi
Huko pm bila shaka huna Nia njema nae, unataka umkule kimasihala kisa ktu kaanika shida zake hapa.
Tuweni waungwana
Hapa nahisi kuna uongo ndani yake. Kuna mambo MENGI hujasema.Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Acha hizo mamakabwili
Tukiombaga tutest mitambo kabla ya ndoa, mnakua wakali, mnatuonaga wahuni.
Ona Sasa,
Mateso gani Aya ya dunia unapitia
Stress mwaka mzima??
Nendeni hospitali mkapime
eti khanithi khaaaahMoja ya sababu ya kuomba talaka hiyo ni sababu kubwa.
Kama hakwambii tatizo lake ni nini sasa hiyo ndoa ni ya nini?
Sishauri watu kuachana lakini sex ina nafasi kubwa katika ndoa, kama mwanaume hawezi hilo hata kanisa katoliki wanavunja hiyo ndoa tofauti na watu wanaodanganywa kwamba ndoa ya kanisani inavunjwa mahakamani tu.
Ndoa ya hivyo kanisa kinaivunja bila kupepesa macho, huwezi kuishi na mume khanisi.
mlongo ko unataka kusemaje?Hapo Kuna tatizo dadangu
Jaribu kumfuatilia nyendo zake kwa Siri kubwa mfano simu yake rafk zake maeneo anayopenda kutembelea utapata kitu tu
Je unapomgusia swala la kusex huondoka nyumban siku3 huenda wapi siku hizo zote?
Miaka 2 n mingi dadangu na muda.wa kuzaa n huu
Fuatilia nyendo zake utaujua ukwel tu
nyie mnanivunja mbavu khaaaah.Mamii, hata kama mlikua mwasex vizuri, fuatilia vizuri dunia imeharibika. Ukute na yeye anapigwa na kupiga ila kupigwa kumemnogea... sitaki kuconclude... ila fuatilia. Stress za kwio?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto